top of page

Msalabani Alipotundikwa


Yesu msalabani, alipotundikwa Hakuwa na dhambi, mkombozi wetu x2 Dhambi zetu nyingi sana, ndizo zilimtesa Hakuwa na kosa, mkombozi wetu


Aliteswa msalabani kwa ajili ya ukombozi wetu sisi


Akasubulibiwa kwa ajili ya ukombozi wetu sisi

2 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page