Mpeni Mungu zawadi mlizo nazo mpeni Mungu zawadi zenu x2
(Toeni kwa uwezo wenu – Mungu anaziona roho toeni kingi toeni kidogo) x2
1. Mkate wetu ee Bwana tunakutolea, ni mazao ya mashamba yetu / uubariki Bwana uupokee.
2. Divai ni yetu ee Bwana tunakutolea, ni mazao ya mashamba yeu / uibariki ee Bwana uipokee.
3. Na fedha zetu ee Bwana tunakutolea, ni juhudi za mikono yetu / uzibariki ee Bwana uzipokee.
4.Na sala zetu ee Bwana tunakutolea, twakusihi uzisikilize / uzibariki ee Bwana uzipokee.
댓글