top of page

Mpaka Lini Bwana?

Mpaka lini Bwana, Utakaa mbali?

Kumetuchosha moyo kukawia hivi.

Utatujia lini, Ili tufurahi

Katika ile nuru, kuja kutukufu?


Mpaka lini Yesu, Utaacha watu

Uliowakomboa, Wawe na mashaka?

Wachache waamini, Kwamba utarudi;

Wachache wa tayari, Bwana kukulaki.


Waamshe watu wako, Tangaza kilio:

‘Mwe watakatifu, Bwanayu karibu!‘

Utatujia lini, Ili tufurahi

Katika ile nuru, Kutukufu?

2 views0 comments

Commenti

Valutazione 0 stelle su 5.
Non ci sono ancora valutazioni

Aggiungi una valutazione
bottom of page