Moyo wangu wamuadhimisha Wamuadhimisha Bwana, na roho, roho yangu, Roho yangu yashangilia, (shangilia)
yashangilia, Roho yangu yashangilia, katika Mungu wangu
Kwa kuwa amemuangalia kwa huruma
mtumishi wake, tangu sasa vizazi vyote,
wataniita mwenye heri kwani yeye aliye
Mwenyezi amenitendea mambo makuu
Jina lake ni takatifu, jina lake ni takatifu
Huruma yake ni kwa wote kwa wale
wote wamchao kizazi hata na kizazi,
kizazi hata na kizazi x2
Amewaondosha wenye enzi, kutoka kwa
kiti cha enzi, kawakuza wanyenyekevu,
kawakuza wanyenyekevu. Amewashibisha
wenye njaa, amewashibisha na mema
matajiri kawarudishi, rudisha mikono
mitupu
Amempokea mtumishi wake, mtumishi
wake Israeli, kama alivyowaambia,
waambia mababu zetu mababu zetu
Ibrahim, Ibrahim wa wazao wake milele
hata na milele, milele hata na milele
Atukuzwe ee Mungu Baba, atukuzwe
na Mungu Mwana naye Roho Mtakatifu,
naye Roho Mtakatifu kama mwanzo na
siku zote, siku hata milele. Siku zote hata
milele, siku zote hata milele
Comments