top of page

Moyo Safi

Bwana ninataka hili, kwa kuwa nimechafuka,

Kwa moto au kwa maji unisafishe kabisa.


Unisafishe Mwokozi ndani, na nje, kwa moto

Utakavyo: ili dhambi ife kwangu, ife kwangu.


Kupewa hekima yote, itakuwa tunu kubwa;

Lakini moyo safi ni, bora kwangu, bora kwangu!


Mpaka moyo ni safi siwezi kuyafahamu

Mambo mazuri ya mbingu, mambo mazuri ya mbingu.

3 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page