Eeh moyo wangu tulia tulia kwa bwana Usinipeleke kwenye tamaa za dunia
Tulia moyo wangu ( tulia) Tulia moyo tulia moyo usinigombanishe ( na mungu) Mungu wangu
Ewe moyo acha kiherehere sukuma damu moyo Acha kiherehere sukuma damu Unanigombanisha (na baba) na Baba yangu na baba yangu Unanigombanisha na mungu na mungu wangu
Ewe moyo acha kiherehere tulia kwa bwana
2. Eeh moyo wangu tulia (tulia) kwa bwana Chuki hasira sinitenge na uwepo wa bwana
3. Eh moyo wangu tulia tulia kwa bwana dhambi na mizizi yake isiote ndani yangu
Comments