Mke wako atakuwa kama mti wa mzabibu,
(wenye kuzaa matunda ndani ya nyumba
yako) x2
Mke wako atakuwa kama mzabibu, wenye
kuzaa matunda ndani ya nyumba yako.
Bwana atawabariki kutoka sayuni,
wamtukuze Mungu Baba daima na milele.
Familia yenu iwe familia bora,
yenye kumcha Mungu daima na milele.
Comments