top of page

Mkate wa Mbingu

Mkate wa mbingu mega kwetu;

Ulivyotoa kwa thenashara.

Katika kitabu, twakuona.

Moyo unatweta kukutana.


Neno la ukweli libariki;

Tusikie mwito wa upole.

Vizuizi vyote vitakoma.

Tena tutapata uungwana.


Uzima na nguvu, utanena;

Nakimbiliza tu kufuata.

Lakini mnyonge ndiye mimi;

Naye Mshindaji ndiye wewe!

4 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page