Bwana, Bwana utuhurumie x2
Ee Bwana x5 tuhurumie x2
Bwana utuhurumie, Bwana,
Bwana utuhurumie x2
Ee Bwana, Bwana, Bwana Ee Bwana,
Ee Bwana, Ee Bwana utuhurumie x2
Kristu (all as above) xx
Bwana (all as above)x2
UTUKUFU
Utukufu kwa Mungu x2,
na amani duniani x2, kwa watu wenye
mapenzi (kwa watu wenye),
kwa wenye mapenzi mema.
Tunakusifu Bwana, tunakuheshimu
Twakuabudu Bwana, tunakutukuza
Twakushukuru Baba Mwenyezi, Mfalme wa Mbinguni
Ee Bwana Yesu Kristu Mwana wa pekee
Mwana kondoo wa Mungu, Mwana wake Baba
Uondoaye makosa yetu utuhurumie
Tunakusihi Bwana utusikilize
Wewe unayeketi kuume kwa Baba
Ni peke Bwana ni Mtakatifu mkuu Yesu Kristu
Pamoja naye Mungu Roho Mtakatifu
Katika utukufu wake Mungu Baba
Milele yote, milele yote, Amina. Amina.
NASADIKI
Ninasadiki Kwa Mungu, Nasadiki, nasadiki
Ninasadiki kwa Mungu (kweli) nasadiki x2
Nasadiki kwa Mungu Baba,
Muumba wa Vyote,
anayetawala milele
Nasadiki Mwanaye Yesu,
Mwana wa Mungu;
Mwana wa Maria, Mkombozi wetu
Alitufia sadaka yetu;
Akafufuka siku ya tatu,
akapaa mbinguni
Amekaa kuume kwa Baba,
atarudi siku ya mwisho
Kuwahukumu wazima na wafu
Nasadiki kwa Roho Mtakatifu na kanisa Katoliki
Tulipobatizwa, tukapewa uzima wa Mungu
Tukaondolewa dbambi zetu
Tutafufuka mwili na roho;
na kuishi na Mungu milele, milele Amina
MTAKATIFU
Mtakatifu Bwana
Mtakatifu,
mtakatifu Mungu wa majeshi x2
Mbingu na dunia zimejaa
Utukufu wako zimejaa
Zimejaa, zimejaa utukufu wako
Hosana Hosana
kwa Mwana wa Daudi
Hosana, Hosana kwa Mwana wa Daudi
Hosana, Hosana;
Hosana juu mbinguni
Hosana, Hosana, Hosana juu mnbinguni
Mbarikiwa yeye mwenye kuja
Kwa jina la Bwana mwenye kuja
Mbarikiwa mwenye kuja
kwa jina la Bwana
Hosana Hosana
kwa Mwana wa Daudi
Hosana, Hosana kwa Mwana wa Daudi
Hosana, Hosana;
Hosana juu mbinguni
Hosana, Hosana, Hosana juu mnbinguni
BABA YETU
Baba yetu uliye mbinguniJina lako litukuzwe ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni utupe leo mkate wetu wa kila siku
utusamehe makosa yetu kama tunavyo wasamehe sisi
waliotukosea
usitutie katika kishawishi lakini utuopoe maovuni
kwa kuwa ufalme ni wako nazo nguvu ni zako, na utukufu hata milele.
MWANA KONDOO
Mwana kondoo wa Mungu tuhurumie x2
Uondoaye dhambi zetu tuhurumie x2
Mwana kondoo wa Mungu tupe amani x2
Uondoaye dhambi zetu tupe amani x2
Utupe amani Ee Bwana utupe amani x2
Utupe amani Ee Bwana utupe amani x2
Comments