Mimi ndimi mzabibu wa kweli, mimi ni mzabibu wa kweli nanyi mmatawi wa kweli, mimi nimzabibu
Na Baba yangu ndiye mkulima wa kweli , kila tawi lisilozaa Baba hulikata , nalo tawi lizaalo , Baba hulisafisha ili lizidi kuzaa
Kaeni nyote ndani yangu mimi,nami nikae ndani yenu kwa maana mtu , akaae ndani yangu nami ndani yake huyo huzaa matunda
Mimi ni mti, mti wa zabibu ,nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu, tawi linalojitenga kutoka kwa mti huu, hunyauka , tena hufa
Comentarios