Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima
Tawi- ndani yangu lisilozaa, nitaliondoa na kulitupa x2
Tawi lizaalo matunda mema, Baba, hulistawisha vizuri mno
Mimi mimi ni mzabibu wa kweli, nanyi, nanyi ni matawi yangu
Nje yangu mimi hamuwezi, kuzaa, kwani ninyi ni matawi tu
Njoni, njoni nyote ndani yangu, nami, nami ndani yenu nifike
Mzi-shike amri ninazowapa, kama, nilivyoshika zake Baba.
Comments