Tunakuomba ewe Bwana – utuhurumie sisi wakosefu utuhurumie x2
Tunakuomba ewe Kristu – utuhurumie x2
Dhambi tunatubu utuhurumie x2
Tunakuomba ewe Bwana……x2
UTUKUFU.
Utukufu kwa Mungu mbinguni na amani duniani kote (kwao wenye mapenzi mema)
Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu, tunakutukuza.
Twakushukuru mwenye utukufu, mfalme wa mbingu, Mungu Baba yetu.
Ee Bwana Yesu, Mwana wa pekee, uliye mwana, Kondoo wa Mungu.
Mwenye kufuta dhambi za dunia, ‘tuhurumie, utusikilize.
Unayeketi, kuume kwa Baba, peke yako mkuu: Ee Yesu Kristu.
Pamoja naye, Roho Mtakatifu, katika ‘tukufu wake Mungu Baba.
NASADIKI.
Ninasadiki:- mimi nasadiki,kweli nasadiki – mimi nasadiki.
Ninasadiki kwa Mungu mmoja – mimi nasadiki:
1. Baba mwenyezi muumba wa vyote – mimi nasadiki:
Na Yesu Kristu Mwanaye wa pekee – mimi nasadiki
Mwana wa Baba pia Bwana wetu – mimi nasadiki.
2. Baba mwenyezi muumba wa vyote – mimi nasadiki:
Na Yesu Kristu Mwanaye wa pekee – mimi nasadiki
Mwana wa Baba pia Bwana wetu – mimi nasadiki.
3. Aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu… akazaliwa
na yeye Bikira…na akateswa kwa
Ponsyo Pilato …. Kasulubiwa akafa, ‘kazikwa
4. Akashukiwa katika kuzimu… siku ya tatu
na akafufuka… akafufuka kutoka kwa wafu…
kapaa mbinguni kwa Baba Mwenyezi….
5. Yeye ‘kaketi kuume kwa Baba… na akakuja na
Ninasadiki kwa Roho mtakatifu…
6. Pia kanisa takatifu katoliki….na ushirika wa watakatifu….
maendeleo ya dhambi nasadiki… Na ufufuko wa miili
nasadiki… Na kwa uzima wa milele amina.
MTAKATIFU.
Mtakatifu mtakatifu – Mtakatifu ewe Bwana,
(Bwana wetu Mungu wa majeshi x2).
Mbingu na dunia zimejaa utukufu,
kweli zimejaa wako utukufu.
Hosanna – hosanna:- Hosanna x2. Juu mbinguni x2.
Amebarikiwa a-ajaye kwa jina, ajaye kwa jina, kwa jina la Bwana.
BABA YETU.
Baba yetu – ee Baba uliye mbinguni jina lako ee Baba litukuzwe.
1.Ufalme wako ufike utakalo lifanyike – jina lako
ee Baba litukuzwe. Duniani kama mbinguni
utakalo lifanyike – jina lako ee Baba litukuzwe.
2.Utupe leo mkate, mkate wa kila siku…
makosa utusamehe, tufanyavyo ndugu zetu….
3. Usitutie ee Baba, katika majaribu…
lakini utuopoe maovuni tuopoe…
4. Kwa kuwa ‘falme ni wako na nguvu na utukufu…
na nguvu na utukufu ‘tukufu hata milele…
MWANA KONDOO.
Mwana Kondoo wa – Mungu uondoaye dhambi za dunia – utuhurumie x2.
Mwana Kondoo wa – Mungu uondoaye dhambi za dunia – (tupe amani x3)
Comments