Mfalme mtukufu mpeni heshima
Fungueni lango ataingia
Mfalme gani huyu mwenye heshima
Ndiye mwenye nguvu ya kutawala
Lango la milele wazi funguka Kwani mfalme wetu anaingia Mfalme gani huyu mwenye heshima Bwana wa malaika mwenye Imara
Enyi binadamu wenye ibada Na majeshi yote ya malaika Tumwabudu Bwana tukamsifie Tukamtukuze neno, tukamnyenyekee
Comments