Meza ya Bwana imeandaliwa Njooni nyote (all) tunjongee
Atualika sisi wote wenye njaa pia na wenye kiu (Natujongee mezani pake tule na tuburudike) x2
1. Damu yake Yesu kinywaji cha uzima (S) cha Roho (ALL) roho zetu x2
2. Mwili wake Yesu chakula cha uzima (S) cha roho (ALL) roho zetu x2
3. Waumini wote mjitayarishe (S) mwaalikwa (ALL) karamuni x2
Comments