Mbio x4 tutangazeni x2. tutangazeni injili ya Bwana x2 mbio.
Wa mama nao wamepotea, wamepotea masengenyoni, ( ni wajibu wetu tuwatafute) x2 mbio.
Wa baba nao wamepotea, wamepotea ulevini, (ni wajibu wetu tuwatafute) x2 mbio
Kina kaka nao wamepotea, wapotea mitaani, (ni wajibu wetu tuwatafute? X2 mbio.
Kina dada nao wamepotea, wamepotea masaluni, (ni wajibu wetu tuwatafute) x2 mbio.
Comments