Mateso yako, (Bwana) Ee Bwana Yesu, ni kwa ajili yetu x2
Unisikilize, mimi ni fukara,
Ndiwe Mungu wangu unihurumie,
Ninakulilia, ewe Bwana wangu,
Mimi ni mkosefu, uniangalie,
Uje Mungu wangu, wala sikawie,
u msaada wangu, na Mwokozi wangu,
Kaa nami Bwana, na usiniache.
Ninakuimbia, wimbo wa shukrani,
コメント