Hawa ndio wale ambao walipoishi x2 Kweli walipanda kanisa kwa damu yao x4
Walikunywa kikombe cha Bwana wakawa marafiki wa Mungu
Mbingu zahubiri utukufu wako anga latangaza kazi za mikono yako
Sauti yao imeenea nchi nzima na maneno yao hata miisho ya dunia
Usihofu kukiri imani, yake Kristu kwa watu wa mataifa
Tuishike imani ya kweli yake Kristu ili tupate uzima
Comments