Mama pale msalabani, macho yatoka machozi, akimwona Mwanaex2
Kweli vile akilia, uchungu kama upanga,ukampenya moyowe x2
Mwenye moyo mgumu nani, asimhurumie basi,mama mlilia Mwana x2
Ewe mama mtakatifu, usulibiwe na Yesu, moyo wangu m’nye dhambi x2
Naye Mwokozi niteswe, na madonda nigawie, pamoja na Mkombozi x2
Nisimame msalabani, niwe nami wako mwenzi, wa uchungu na msiba x2
Nisianguke motoni, uniwie msimamizi, Ewe Bikira mwema x2
Msikilize mama yako, niponye siku ya mwisho . Ewe Mwokozi wangu x2
Nitakapokufa mimi, upokee roho basi, niende kwako Mungu x2
top of page
bottom of page
Kommentare