Mama Maria Mama tunakusalimu, wewe uliyetukuka uwinguni x2
Tunajinyenyekeza mbele ya uso wako, tunakuimbia nyimbo zetu tunakusifu x 2
Ee Mama wetu utusikilize sisi wanao tunakusalimu.
Usitutupe tunapokujia, ee Mama wetu utukaribishe.
Tunakujia tukiwa na shida utupokee ee Mama wa Mungu.
Utupokee katika maovu, utuongoze katika maisha.
Comments