Mama Maria pokea zetu salamu, twakusalimu ee Mama wa Mkombozi, leo twakuimbia tukikushangilia x2
1. Utuombee kwa mwanao Yesu Kristu, tupate heri na maisha ya furaha
2. Maombi yetu pamoja na sala zetu, zifike kwake Yesu Mkombozi wetu.
3. Twakusalimu salamu Mama Maria, mbarikiwa uliyejaa neema.
4. Twakuimbia kwa shangwe pia furaha, twakusalimu pokea zetu salamu.
Comments