Kila kilicho juu ya nchi, ni mali yake Bwana, mwumba mbingu, kila kilicho juu ya nchi, ni mali yake Bwana, mwumba mbingu
Mashamba ya Mungu, (yote) yote ya Mungu x2 Mazao ya Mungu, (yote) yote ya Mungu x2
Mifugo ya Mungu, (yote) yote ya Mungu X2, Bahari ya Mungu, (yote) yote ya Mungu x2
Na nyumba za Mungu, (zote) zote za Mungu x2, na fedha za Mungu, (zote) zote za Mungu x2
Milima ya Mungu, (yote) yote ya Mungu x2, wanyama wa Mungu, (wote) wote wa Mungu x2
Комментарии