1. Maisha yangu (yote) nakutolea (wewe) ee Mungu wangu, (Bwana) unipokee (Kwako)
Bwana maisha yangu yote nampa Bwana maisha yangu yote nampa Bwana nilivyo navyo vyote ni mali ya Bwana Bwana masiha yangu yote nampa Bwana.
2. Ujana wangu ( mimi) ulionipa (wewe) najitolea (kwako) kukuhudumu (wewe).
3. Uzee wangu (mimi) ulionipa (wewe) najitolea (kwako) kukuhudumu (wewe)
4. Nimeamua (mimi) na nyumba yangu (yote) kumtumikia (Mungu) milele yote.
Comments