top of page

Liko Lango Moja Wazi

1. Liko lango moja Wazi, ni lango la Mbinguni,

Na wote waingiao watapata nafasi.

Lango ndiye Yesu Bwana Wote Waingie Kwake,

Lango! LangoLa Mbinguni ni wazi.


2. Yesu ndiye lango hili,hata sasa ni wazi, Kwa

wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini.


3. Hii ni lango la raha, Ni lango la rehema,

Kila mtu apitayeHana majonzi tena.


4. Tukipita lango hili Tutatua mizigo

Tulichukua kwanza Tutavikwa uzima


5. Hima ndugu Tuingie lango halijafungwa

likifungwa mara moja halitafunguliwa.

32 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page