1. Leo yatimizwa maneno ya kale Masihi kazaliwa, heko kwake Isaya alisema Bikira atamzaa (nasi) tufurahi na kumwimbia atokaye Mbinguni
Shangwe kuu tumpokeapo mgeni Mwana wa Mungu Kristu (tumshangilie) heko heko kwa bikira na mwanaye Yesu Kristu na tumshangilieni
2. Herode upoe moto, usipayuke bure, Yeye mfalme wa Mbinguni hana haja na wako
3. Mwenye dhambi futa jasho takubebea mzigo, Damu itafanya kazi, dhambi tatusamehe
Comments