Lala mpenzi ulale salama, kwani ya dunia umeimaliza;
Umerudi mbele zake Mungu, lala lala salama x2
Lala salama – lala lala salama
Mpendwa wetu – lala lala salama
Oh ndugu /dada yetu…. siku ya mwisho…. huko paradiso…..
2. Sisi wenzako wale tumebaki, tuna imani umefika kwa Baba; makao yetu ni huko mbinguni, lala lala salama x2
3. Nasi wakristu wale tumebaki, tuzidi kumwamini Mwokozi; ili nasi tuishi mbinguni….
4. Mwokozi wetu alitangulia, kwenda kuandaa makao; ili tuishi mbinguni….
Comments