Yesu Mwokozi, kwa hakika, Hunipa furaha na amani;
Mrithi wa wokovu wake, Natakaswa kwa damu yake.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
Nijitoapo nina raha, Na kwa imani namwona Bwana;
Aniletea malaika, Wananilinda, niiokoke.
Hali na mali anitwaa, Katika Yesu nabarikiwa;
Nikimgoja kwa subira, Wema wake unanitosha.
Comments