1.Kuteswa kwake Bwana, kulinipa wakovu, siachi kumwimbia pote niendapo x 2
Aliyeniokoa– ni Yesu; aliyevumilia –mateso aliyemwaga damu – mtini; ndiye Bwana wangu x 2.
2. Kwa kunipenda mimi aliwambwa akafa, nipendo la ajabu; kunifilia x 2
3. Rohoni nimeoshwa, kwa damu ya dhamani, makosa yameoshwa naye Mwokozi.x2
Comments