Kuleni mwili wangu, kunyweni damu
yangu mtaishi milele asema Bwana x2
Mimi ndimi chakula, chakula cha uwingu - asema Bwana
Mimi ndiye kinywaji kitokacho mbinguni
Mimi ndiye uzima ushukao mbinguni
Mimi ndiye faraja itokayo mbinguni
Mimi ni njia kweli, iendayo mbinguni
Wote wajao kwangu nitawapa tulizo
Yeye ajaye kwangu atapata uzima
Kaeni ndani yangu nami nikae kwenu milele
Comments