Kila kilicho juu ya nchi- ni mali yake Bwana huko mbinguni x2
1. Na zaka za -Mungu zote za Mungu
Mazao ya -
Mifugo wa -
Bahari ya -
2. Sadaka ya -
Na fedha za -
Milima ya -
Wanyama wa -
3. Na watu wa -
Uhai wa -
Baraka za -
Upendo wa -
4. Masista wa -
Mapadri wa -
Watoto wa -
Wazazi wa -
5.Walimu wa -
Na nchi ya -
Faraja za -
Neema za -
Comments