top of page

Kikondoo cha Mungu




Kikondoo cha Mungu mkate wa mbinguni, mlishi wa roho yangu nakuabudu

  1. Ubabangu mwema na msimamizi, mpaji wa uzima wangu Mwokozi

  2. Fumbo abudiwa nakuamini, kaza Yesu mpendwa yangu imani

  3. Mlo wa roho yangu hostia nzima, niwie ya mbingu kweli amana

  4. Ee Rabi mtu Mungu uniridhishie, njoo shuka kwangu kanishibishe

  5. Anakaribia mpenzi amini, hata kaingia mwangu moyoni.

16 views0 comments

コメント

5つ星のうち0と評価されています。
まだ評価がありません

評価を追加
bottom of page