Kikondoo cha Mungu mkate wa mbinguni, mlishi wa roho yangu nakuabudu
Ubabangu mwema na msimamizi, mpaji wa uzima wangu Mwokozi
Fumbo abudiwa nakuamini, kaza Yesu mpendwa yangu imani
Mlo wa roho yangu hostia nzima, niwie ya mbingu kweli amana
Ee Rabi mtu Mungu uniridhishie, njoo shuka kwangu kanishibishe
Anakaribia mpenzi amini, hata kaingia mwangu moyoni.
コメント