Kikombe kile tubarikicho ni ushirika wa damu ya Kristu x2
1. Tunamshukuru Mungu / kwa kikombe cha Baraka.
2. Hivyo tunashiriki / damu yake Kristu.
3. Tunapoumega mkate / tunashiriki mwili wake Kristu.
4. Kwa kuwa huo mkate ni mmoja / sisi, ingawa ni wengi tu mwili mmoja.
5. Maana sisi sote / twashiriki mkate huo huo .
6. Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana / na pia kikombe cha shetani.
7. Hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana / na pia katika meza ya shetani
コメント