Kiapo cha Ubatizo wangu, kutoa si mimi ni wao;
Ni mzima nayo akili yangu, ninaapa mwenyewe leo.
Ninaapa.. Ninaapa, ninaapa mwenyewe leo x2
Naapa: Yesu ndiye Mwokozi sadaka, mlipa letu deni,
Mwenyewe ni mwana wa mwenyezi, naapa ni yangu imani.
Naapa kwa Mungu na kanisa, ni mtoto tangu ubatizo.
Ya jana nayatubu makosa, naapa ni mtu mpya, si mchezo.
Comments