Kesha ukaombe panapo mafasi;
Wakati si mwingi. Kwa vile ukeshe
Mwili ni dhaifu. Adui hodari
karibu atakuja, Bwana wa arusi.
Kesha, Omba, Kesha, Omba,
Kesha Kaombe gizani, mchana,
Daima kesha.
Fukuza usingizi, fukuza mashaka;
Ahadi ni yako, raha ya milele
Bwana alkesha kwa ajili yako;
Jasho yeke ikawa matone ya dame.
Yesu umkubali awe nguvu zako; Silaha uzivae; adui karibu. Sasa nafasi iko, isipite bure; Bila kukawia masihiya kesha.
Comentários