Kando ya mito ya Babeli ndiko tulikoketi, tukalia tulipo ikumbuka sayuni x2 (katika miti iliyo katikati yake tulivitundika vinubi vyetu x2
Maana huko waliotuchukua mateka, walitaka tuwaimbie na waliotuonea walitaka furaha (tuimbieni baadhi ya nyimbo za sayuni x2
Tuuimbeje wimbo wa Bwana, katika nchi ya ugeni ee Yerusalemu nikikusahau wewe (mkono wangu mkono wa kuume na usahau x2
Ulimi wangu, ulimi wangu na ugandame, na kaa la kinywa changu nisipo kukumbuka nisipoikuza Yerusalemu (zaidi ya furaha, furaha yangu iliyo kuu x2
Comments