Kama vile Baba yangu alivyo nituma mimi; nami nawatuma nyinyi ulimwenguni. Endeni ulimwenguni pote mkalihubiri injili kwa mataifa yote (wasikie neno langu mimi wawe na uzima tele x2).
Hubirieni viumbe vyote waje kwangu; aaminiye na kubatizwa ataokoka.
Muwafundishe kusali na kuwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho.
Watangazie habari njema ya wokovu wanifuate wafike kwangu siku ya mwisho.
Comments