Wanafunzi wawili wa Ye-su (wa Yesu) walipokaribia Ema-u (Emau) Yesu alifanya kama ana-taka kuende-lea mbele wakamshawishi wakamshawishi wakisema
Kaa pamoja nasi Bwana, Kaa pamoja nasi Bwana Kaa pamoja nasi Bwana, kwa kuwa kumekutwa na mchana umekwisha
Akaingia ndani, akaingia ndani Na kukaa nao, na kukaa nao akaingia ndani, akaingia ndani na kukaa nao, na kukaa nao
Nasi twende na Yesu aliyefufuka maishani mwote tuishi naye Yesu (wakristu) nasi twende na Yesu aliyefufuka maishani mwote tuishi naye Yesu Mwo-ko-zi
Comments