1.Juu ya mlima kalvari ,Mwokozi alisulubiwa kwa ajili ya dhambi zetu yesu alihukumiwa (aa)x2
(Mwokozi wangu wa rehema unikumbuke nami Bwana, katika ufalme wako utakapokuja (aaa) x2
2. Mbinguni na viumbe vyote vilinyamaza kwa uzuni tendo hilo lenye kusikitisha (aaa) x2
3. Yesu wa upendo mwingi, unite kwa pendo lako uishi name siku zote za maisha yangu (aaa) x2
Σχόλια