Jua la rohoni mwangu, mpendwa Mwokozi wangu;
Usiku giza hapana, ukiwa karibu Bwana
Nikipata usingizi, nijaze fikira hizi,
Nitamu sana, nilale pendoni mwako milele.
Kaa nami, ewe Bwana, usiku kama mchana,
Nisiishi mbali nawe; ni uhai kuwa nawe.
Kama mtotomnyonge ameshawishwa atange,
Mtafute Ewe Bwana, ujirudishie tena.
Wagonjwa wape amani, waneemeshe maskini,
Waliao, Mtulizi, wape wote usingizi.
Asubuhi tutokapo, tukaribie tulipo;
Twingiapo duniani tuwe mwako mkononi.
Bình luận