top of page

Jua la Rohoni Mwangu

Jua la rohoni mwangu, mpendwa Mwokozi wangu;

Usiku giza hapana, ukiwa karibu Bwana


Nikipata usingizi, nijaze fikira hizi,

Nitamu sana, nilale pendoni mwako milele.


Kaa nami, ewe Bwana, usiku kama mchana,

Nisiishi mbali nawe; ni uhai kuwa nawe.


Kama mtotomnyonge ameshawishwa atange,

Mtafute Ewe Bwana, ujirudishie tena.


Wagonjwa wape amani, waneemeshe maskini,

Waliao, Mtulizi, wape wote usingizi.


Asubuhi tutokapo, tukaribie tulipo;

Twingiapo duniani tuwe mwako mkononi.

4 views0 comments

Bình luận

Đã xếp hạng 0/5 sao.
Chưa có xếp hạng

Thêm điểm xếp hạng
bottom of page