1. Bwana Yesu ni mwili wa uzima tukilatutashibisha, Bwana Yesu ni damu ya uzima yeye ni uzima.
Songeeni kwa karamu ye jongeeni Ya upendo / tule mwili wa (Bwana Twende wote tunywe damu yake Bwana tupate uzima) x2
2. Tunapo kula mwili wake Bwana nakuinywa damu yake: tunatangaza kifo chake Bwana mpaka arudipo.
3. Alaye mwili wake Bwana wetu na kuinywa damu yake: akila bila kusitahili anajihukumu.
4. Unapokula mwili wake Bwana na kuinywa damu yake: unapata uzima wa milele tena hufi kamwe.
Comments