Atakaye / kula mwili wangu, kula na kunywa / damu yangu mimi atapata / uzima wa milele ndipo atasema / Bwana Mwokozi x2
Jitayarishe Ndugu yangu, kumpokea Mwokozi Bwana Yesu aje kwako, jitayarishe leo x2
Bwana Yesu ni hekalu, hekalu takatifu ndugu yangu tubu dhambi, umpokee Mwokozi x2
Sasa Ndugu umekubali kumpokea mwokozi, Ndugu yangu tubu dhambi azaliwe moyoni mwako x2
Comments