Jipe moyo Bwana yuko nawe, (tena)
Hakuachi kamwe kwani yeye akupenda
Hata shida zikikuandama (ndugu)
Umtegemee, Yesu atakuongoza
Njia imejaa giza na umande, huku
watembea bila hata nuru wasi wasi hofu
yakujaa woga watawala wasimama
wima hujui pa kwenda ushujaa watoka
wabaki upweke, bali yu pamoja na wewe
Ndugu watoweka wakuacha pweke,
hata marafiki uliothamini watoroka, hofu
yakujaa woga watawala. Wasimama
wima hujui pa kwenda. Ushujaa watoka
wabaki upweke, bali yu pamoja na wewe
Kila utendacho, hakiwezekani, wajaribu
sana kufaulu wala hauwezi hofu yakujaa
woga watawala wasimama wima hujui
pa kwenda ushujaa watoka wabaki
upweke, Bali yu pamoja na wewe
Comments