Jina lake Yesu tamu Tukilisikia,
Hutupoza, tena hamu Hutuondolea,
Roho iliyo umia kwalom hutibika,
Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka.
Jina hili nimsingi, Ngao, Ngoma,
Mwamba, Kwa hili napata ungi, kwangu ni akiba.
Yesu, Mchunga, Rafiki, Mwalimu,
Kuhani, Mwanzo, Mwisho, na Amana, Mali yangu yote!
Moyo wangu hauwezi kukusifu kweli;
Ila sifa zangu hizi, Bwana, zikubali.
Commentaires