top of page

Jina lake Yesu Tamu

Jina lake Yesu tamu Tukilisikia,

Hutupoza, tena hamu Hutuondolea,


Roho iliyo umia kwalom hutibika,

Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka.


Jina hili nimsingi, Ngao, Ngoma,

Mwamba, Kwa hili napata ungi, kwangu ni akiba.


Yesu, Mchunga, Rafiki, Mwalimu,

Kuhani, Mwanzo, Mwisho, na Amana, Mali yangu yote!


Moyo wangu hauwezi kukusifu kweli;

Ila sifa zangu hizi, Bwana, zikubali.

9 views0 comments

Commentaires

Noté 0 étoile sur 5.
Pas encore de note

Ajouter une note
bottom of page