top of page

Jina la Yesu Salamu

Jina la Yesu, salamu! Lisujidieni,

Ninyi mbinguni, hukumu, Na enzi mpeni

Ninyi mbinguni, hukumu, Na enzi mpeni


Enzi na apewe kwenu, watetea dini;

Mkuzeni Bwana wenu, Na enzi mpeni

Mkuzeni Bwana wenu, Na enzi mpeni


Enyi mbegu ya rehema nanyi msifu;

Mmeponywa kwa neema, Na enzi mpeni

Mmeponywa kwa neema, Na enzi mpeni


Wenye dhambi kumbukeni ya msalabani

Kwa furaha msifuni, Na enzi mpeni

Kwa furaha msifuni, Na enzi mpeni.


Kila mtu duniani msujudieni

Kote-kote msifuni, Na enzi mpeni

Kote-kote msifuni, Na enzi mpeni.


Sisi na wao pamoja tu mumo sifani.

Milele sifa ni moja, na `mpeni`

Milele sifa ni moja, na `enzi mpeni`

15 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page