Jina la Yesu, salamu! Lisujidieni,
Ninyi mbinguni, hukumu, Na enzi mpeni
Ninyi mbinguni, hukumu, Na enzi mpeni
Enzi na apewe kwenu, watetea dini;
Mkuzeni Bwana wenu, Na enzi mpeni
Mkuzeni Bwana wenu, Na enzi mpeni
Enyi mbegu ya rehema nanyi msifu;
Mmeponywa kwa neema, Na enzi mpeni
Mmeponywa kwa neema, Na enzi mpeni
Wenye dhambi kumbukeni ya msalabani
Kwa furaha msifuni, Na enzi mpeni
Kwa furaha msifuni, Na enzi mpeni.
Kila mtu duniani msujudieni
Kote-kote msifuni, Na enzi mpeni
Kote-kote msifuni, Na enzi mpeni.
Sisi na wao pamoja tu mumo sifani.
Milele sifa ni moja, na `mpeni`
Milele sifa ni moja, na `enzi mpeni`
Comments