Jambo hili nina litamani kwa moyo wangu
wote x2 Maana katika msalaba, mna
wokovu x2 Kujua, kupenda na kuishi
milele yote x2
Bwana wewe Bwana,
mimi ninakuttumainia kama mlinzi wangu
Tawala maisha yangu,
nitende kwa uaminifu kazi yako wewe Bwana
Niongoze milele,
niwachunge kondoo wako, Bwana wasipotee
Comments