Inua macho yako utazame pande zote (za dunia) wote wanakusanyana wanakujia wewex2
1. Wanawako watakuja wakitoka mbali na wale binti zao wote watabebwa nyongani
2. Ndipo utakapoona na kutiwa nuru na moyo utatetemeka na kuvunjika
3. Wote watafurikia wakitoka Sheba dhabihu pia na uvumba vitatolewa
4. Watakutolea hizo tunu zote safi na pia watazintangaza sifa zake Bwana
Comments