Inakuwaje tunasikia maneno, wanayosema, kwa lugha yetu wenyewe Tunasikia mambo hayo ya Mungu, wanayosema, kwa lugha yetu wenyewe (Wao ni wa Galilaya, na si ni wa makabila, Ya kutoka nchi mbalimbali (duniani) Ina maana gani, linashangaza jambo hilox 2
Siku ile ya Pentekoste ilipofika, mitume nao waamini Walikusanyika pamoja katika nyumba, walimokuwa wamekaa
Mara uvumi wa upepo ukasikika, ndimi za moto zikawashukia, Wakawa wamejazwa na Roho Mtakatifu, wakisema lugha nyingi
top of page
bottom of page
Commentaires