Harusi leo, harusi tuliyoingojea imefika, kwa vile wawili wameungana pamoja na kuwa mwili mmoja.
Imbeni shangilieni harusi ni siku ya kufurahi kwetu sote x2
Mbele yetu ni wawili waoana kihalali x2
Harusi ya kwanza ilikuwa katika bustani Edeni, wakati wazazi wetu wa kwanza walipoishi pamoja
Kuweni mfano mzuri kwa watu wanapowatazama, na Mungu atawabariki siku zote za maisha yenu.
Comments