top of page

Imani ya Mitume

Namwamini Mungu Baba Mwenyezi, Muumba mbingu na nchi:

Na Yesu Kristo Mwana wake wa pekee,

Bwana wetu, Aliyechukuliwa mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu,

Akazaliwa na Bikira Mariamu, akateswa zamani za Pontio Pilato,

Akasulibiwa, akafa, akazikwa, akashuka kuzimu;


Siku ya tatu akafufuka, akapaa mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba Mwenyezi: Kutoka huko atakuja kuwahukumu watu walio hai na waliokufa.

Namwamini Roho Mtakatifu: Kanisa Takatifu Katoliko:


Ushirika wa Watakatifu: Ondoleo la dhambi: kufufuliwa kwa mwili.

Na Uzima wa milele.


AMINA.

1 view0 comments

Commentaires

Noté 0 étoile sur 5.
Pas encore de note

Ajouter une note
bottom of page