1. Huu ni wakati wa kutoa sadaka ndugu – toa sadaka x 2
Hili kwamba ubarikiwe x 2
Bwana Mungu x 4
Toa sadaka yako
2. Njooni na tutoe sadaka kwa Mungu wetu x 2
3. Na kwa moyo safi tutoe sadaka zetu x 2
4. Na akina Baba tutoe sadaka zetu x 2
5. Hata akina mama tutoe sadaka dada x 2
6. Pia na watoto tutoe sadaka ndugu x 2
7. Tutabarikiwa na sadaka zetu sote x 2
Comments