Hosanna Mwana wa Daudi, ndiye mbarikiwa Yeye ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli Hosanna juu Mbinguni enyi watu wote pigeni makofi Mshangilieni Mungu kwa shangwe kubwa
Kwa sababu Bwana aliye juu ni mwenye kutisha Ndiye mfalme mkuu wa dunia yote
Atawatisha watu wa dunia chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu
Atatuchagulia urithi wetu fahari ya Yakobo ambaye alimpenda
Mwimbieni Mungu imbeni, mwimbieni mfalme wetu mwimbieni
Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote imbeni kwa akili
Mungu awamiliki mataifa Mungu ameketi katika kiti chake kitakatifu
wakuu wa dunia wamekusanyika wawe watu wa Mungu wa Ibrahimu
Maana ngao za dunia zina Mungu ametukuka sana
コメント